Na Leo kabisa siwezi nikacerewa mnipe like mie wa Burundi tujuwane tumuonyeshe upendo Baba kalobo na tuone nguvu za Mungu za Mungu together I love u more❤❤
Eeeeh mwenyezi mungu..kila anaye fwatilia hii movie...acha bwana ukqmfungulie milango....iliyo fungwa na wachawi...hakika mungu ni muweza wa yote....mbarikiwa mnao fwatilia moviee hii...❤❤❤❤❤
Baba joani hii movie inaerekea mwisho na wewe ndio unaigiza snaa mambo tunayo yapitia unaonajee movie mpya ukaita mungu amenisahau maan kuna watyu wanapitia magumu na kuisi mungu hayupo katika maisha yao na mm miongoni mwao ila ningeweza kuigiza hakika ninge igizaa ila siwez na kuomba igiza hiyo maan utatutia moyo na asante
MWEZI MUNGU NAOMBA WAJALIE WAJA WAKO KAXI NJEMA UWAPATIYE AFYA NJEMA NA WALITANGULIA UWAJALIE NDIO JANNAT FIRDAUSI YOYOTE AKISOMA HII NA KULIKE MUNGU AMJALIE UMRI MREFU IN SHAA ALLAH NA KUCOMEENT AMEEN
Baba karobo waaah hiii ya leo inafanya nilie pia,yatapita tuuu mvumilivu hula mbivu,#Kenyan girl,wapi like ata moja 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Movie nzuri Ila fupi xna jamani❤❤❤ kutoka Dubai naomba like zangu jamani
Baba angu kipofu
Na Leo kabisa siwezi nikacerewa mnipe like mie wa Burundi tujuwane tumuonyeshe upendo Baba kalobo na tuone nguvu za Mungu za Mungu together I love u more❤❤
😢
Wa kwanza kucomment kutoka Kenya gonga like
Na mm
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From kenya
Naona baba karobo akirudishia mboni, halafu mama karobo atiwe adabu
Waleta 45 haraka
Yani Toka nianze kufatilia hii muvi sijawahi kupata like jamani 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😢😢😢
❤❤❤❤❤
Hi Bless am Faith from Kenya 🇰🇪
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
❤❤❤❤❤
Léo mutuwakwanza depuis Congo R.D.C🇨🇩🇨🇩🇨🇩 je vous aimes beaucoup
Salut man
Bonjour comment allez-vous ?🇨🇩🇨🇩
@@KigunduJean tu habites où présentement ?
@@Kmpshowpatient Goma Nord Kivu
@@KigunduJean ah bon Cool vraiment moi je suis à Lubumbashi
Anti kibaniyo asinge enda bila juwe angelichukuwa amupelekeye muchungaji kazi jema kwenu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️
Me wakwanza , nice movie baba Joan
Team Kenya tulike hapa❤🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Subscribe
❤❤❤❤❤❤❤
Mambo❤
❤❤❤❤ 4:22
@hellenk😅habwanditsa6983
Congratulations bad j and team more love u ❣️ thanks kwa mafunzo yenu katika movie zenu ❤❤🇰🇪🇰🇪
😅ezy 15:04 😂❤❤ 15:16 de
😂ziyr 15:31 ❤❤
Wyzokh😂❤
🎉🎉🎉🎉 fupi sana imeisha sehemu tamu ongeza dakika halafu ikiwezekana kila siku tadadhali @BabaJoan❤❤❤❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mmejua kufundisha jamii hongereni Sana marafiki zangu
Nipeni like Leo nimefka mapema lakn mmh kwani wengine hulala hapa wakisubr 😂😂😂😂
Eeh kama mm 😂😂
Yan sijui watu wanakesha humu😅😅
❤❤❤
Mashallah leo kazi hahijakawiya sana mwenyezi mungu awazidishie Zaid
Mmmm daaa ahsante Sana mchubgaji Kwa maombi yako imegunduoika karobo alipo Kazi nzuri
Naipenda sana, kazi nzuri sana. Ongera Baba karobo.
wadau we azangu mpo wa nawapenda sana jamani kwaajili ya allah 🎉🎉❤naombeni like zangu
Baba joan na timu yake hongereni
Jamani karobo anabata tabu manikin babake karobo nakuonea huruma sana ..😢 .. wanaoniunga mkono kwakumuhurumia karobo na babake nipeni like
❤❤❤ first to watch from kenya ... My likes please 🙏
Mbona mambo anaendeea kuwa mazito kweri Kigali Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 turabakunda cyaneeeee
❤❤❤ i love you baba joan and leila karobo
Hii episode imeniliza hii congratulations baba karobo
Nimo ndani kutoka kaskazini mashariki kenya wapi likes zangu.
Jamani sinema ishakua tamu sana@baba Joani sad Story but inatufundish mengi... Salute
Wakwanza jamanii team strong pls like🎉🎉
Mida ya kupika team strong 😂
Mv nzr sana ila fupisana tunaomba muongeze Dakika mm kutoka Budi 🇧🇮
Yanani hiifilamu imeniingiya sana n'a naomba Num ya juliat kaku mpongeza nime wapenda sana n'a ninaishi injini congo
Hii movie nzuri sana hongera @BabaJoan🙏
Duuh hili jimovie b karobo tunaenda nalo mpka januhr wallah tup Kwa ajili yako waif za Bure za warabu 🇴🇲 hum 2 baba karobo
Oh mtoto Omar kamkumbuka rafiki Yake karobo Baba Yake pia dah poleni Sana muzidishe dua insha'Allah
Mungu wangu nimeona sasa kichiko tumeshinda baba kipofu utaona mungu atapitia kwa pstr kichiko
Mtumishi chiko mungu akujalie hii nafasi inakufaa kwa maisha yako🙏🙏mungu bariki wote wanao jitahidi kuturlomisha ila mamakarobo punguza uchawi buana😂😂
Kazi zuri bba Joan lkni ongezeni dakika tafadhali 🙏🙏 mungu awajalie qwa kazi yenu zuri team bba karobo
Yoyote yule Atakae omba like Leo na kusema amehawi naomba mungu amkutanishe na P DIDDY 😂😂😂😂😂 akapakwe mafuta ya baby oil 😂😂😂
😂😂😂😂jamani
Jamani www😂😂😂😂😂
Kazi nzuri sana Baba Joan🇹🇿
wow 😊😊😊nzuri Sana nasubiri episode 45 so amazing 😍😍😍😊😊
Waaaah kali snaa
Shangazi wa karobo umefeli ulitakiwa kulichukuwa hilo jiwe kwani ninahofu mama karobo feki naweza kulihamisha hapo
Hapo inaundwa series ijayo😂😂😂 mtirirko mbovu sana wa matukio na yanatabirika kwa urahisi.
Umeona anaacha kubeba jiwe analiacha likionsolewa je?
Hii moja kali sasa
Naipenda sana movie kwann mnachelewa kutoa jaman
Jamani wachawi hawana huruma, Ila mungu asaidiye karobo kupitiya wachungaji hata awape nguvu yakushinda wachawi awarushiye moto milele Amina 🙏🙏🔥🔥
Walio sikia Maman karob Fek akisem utakuona Mileke Amin Liké APA jaman❤❤❤❤
Good job
Shukulani mmejua karobo mahari yuko mungu ana uwezo mkumbwa acha mungu aitye mungu
Tangu hii movie ianze sojawahi Pata hâta lik 10 Léo nawaomba 2:56
❤❤
Eeeeh mwenyezi mungu..kila anaye fwatilia hii movie...acha bwana ukqmfungulie milango....iliyo fungwa na wachawi...hakika mungu ni muweza wa yote....mbarikiwa mnao fwatilia moviee hii...❤❤❤❤❤
Jamani baba kalobo ninzuli sana lakinimna koseyaki dogomnao ngeasana mnapoteza muda punguzeni maongezi
Like Bas from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hongera sana,Baba Joan na team yako, tamthilia inazidi kuwa tamu
Waaa masikini karobo
Baba Joan we noma na timu Yako
Watching from qatar and its interesting
Mvi nzuri baba karobo good job ❤❤❤❤❤
Much love ❤️ baba joan 🎉🎉
Wakwanza kutoka Tanzania movie nzuri tuko pamoja baba karobo❤❤❤
Iyi episode sioni jambo lamana mbona munayifany ndefu Sana ivi mnacheza bitu habina #utamu wowote
Pastor chiko mauwa yako kutoka Kenya 🎉🎉🎉❤❤❤kazi ya mungu unafanya vizuri kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏
Sasa karobo atolewe kwenye jiwe alafu mchungaji amuombee baba karobo twataka tumuone akiona na mama karobo apewe adhabu kali
Hakika nami natamani iwe ivo
Yesssss aki huyu mama karobo fake apatiwe adhabu Kali munooooo haaaaa unatesa family Yako majabu haya
Jameni mama karobo !!! Dhuuuu umekutana na P DIDY nini? Hata kama ni movie namuogopa xna. From USA
😂
Tunaendelea vizuri karobo kashapatikana sasa n mchungaji afanye maombi kumrudisha karobo Kisha babake apate mboni yake
Mvi ni tamu mnoo niwatakie mwezi mwema na wenzangu wakristo tukumbuke huu mwezi wa lozali❤❤
Amen Mungu atujalie afya tele na baraka nyingi
Baba jaon haki video z❤❤🎉ako zimeweza mbaya wakenya tumezipenda
Mi naimani itayishia kwenye ep 50 anaebisha aweke mkono juuu😂😂😂😂 tango sijawahii kupa hata link mjo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Congratulations keep it up good job 👏👍
Kazi nzuri likini mbna ni fupi san ongezeni dakika kiasi jaman🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪salim kutoka uko
Hubora wa kazi nzuri sana ukiwa bado una pewa sapoti na mashabiki ka like ka comenti ka subscreb ivyo tu
Mbona mambo ayaendi tunsitaji baba kalobo aone
Nice movie
Mama karobo wa feki mnafki san kumtesa karobo😢😢
Ooo saf san
Kazizuri nawapenda saaanaaa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I like it, keep it up
Hii movie nzuri kutoka kenya
Subhanallah jamani baba kalobo anateswa mungu amsaidie inshallah basi
ata comment Moja 😢😢😢😢
😢😮😢😢😢 mwanamke anaroho mbaya sn huyu eee mungu weeee mponye baba karobo aweze kuona
Bravo!...
Kuomba like tuh kukoment aaah
Leo mm wa kwanza kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿Mozambique kazi njema
Courage ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nice
Hakika Nazi zako ni nzuri, jitahidi utoe kila siku tafadhali
Nakubali Sana baba joani Ila hii move kama isi ishe
Team my mother,house girl na baba yangu kipofu salute kwa chiko🎉🎉🎉
Zuu ❤
Nice, waiting episode 45, if possible by Friday. Tamu sana
Yani utamu ndio unazidi ila Namiss sana Patronize jamani . Nafatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba joani hii movie inaerekea mwisho na wewe ndio unaigiza snaa mambo tunayo yapitia unaonajee movie mpya ukaita mungu amenisahau maan kuna watyu wanapitia magumu na kuisi mungu hayupo katika maisha yao na mm miongoni mwao ila ningeweza kuigiza hakika ninge igizaa ila siwez na kuomba igiza hiyo maan utatutia moyo na asante
Wa kwanza Kutoka Kenya nipewe like hata moja 🇰🇪🇰🇪
Safi sana baba karobo kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉
Waooooooooh kazi nzur sana baba Joan tem
Mzigo kubwa
Kipindi chenu kuzuri bac musicheleweshe sana tutumiyeni hata kesho plz tunatamani karobo atoke kwa jiwe ❤❤
Ila dada ake baba kalobo angemchukua tu kaka ake wakae tu pamoja jaman mana mmmhhh
Mchukue bhana usimwache apo
MWEZI MUNGU NAOMBA WAJALIE WAJA WAKO KAXI NJEMA UWAPATIYE AFYA NJEMA NA WALITANGULIA UWAJALIE NDIO JANNAT FIRDAUSI YOYOTE AKISOMA HII NA KULIKE MUNGU AMJALIE UMRI MREFU IN SHAA ALLAH NA KUCOMEENT AMEEN
Ameen
Amina
Amiyn
Ameeen 🙏❤️
🎉🎉🎉🎉
Omar na karobo wapndeza alf mama mdgo wa karobo chkua jiwe mpleke kwa mchungaji from kenya npeen like ata🎉🎉🎉🎉
Chenye mm naomba huu muvi usihishe 😂😂
Big up Baba Kalobo,Me medufunza mengi leo. Namupenda Kalobo
Kazi nzuri sana ila muda muongeze ata nusu saa
Happy new month guys❤❤❤❤ Kenyans wishing you the best ❤❤❤❤❤❤mungu awajalie maisha marefu yenye fanaka baraka zake siandamane nanyie siku zote❤❤❤
Pia nawe
@@JescaDzombo 🙏🙏🙏🙏
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪