BABA YANGU KIPOFU Full episode/44/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • #love

Комментарии • 859

  • @NelphineMamyjayden
    @NelphineMamyjayden 4 месяца назад +29

    Baba karobo waaah hiii ya leo inafanya nilie pia,yatapita tuuu mvumilivu hula mbivu,#Kenyan girl,wapi like ata moja 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @ShillaVennesa
    @ShillaVennesa 4 месяца назад +60

    Movie nzuri Ila fupi xna jamani❤❤❤ kutoka Dubai naomba like zangu jamani

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 4 месяца назад +82

    Na Leo kabisa siwezi nikacerewa mnipe like mie wa Burundi tujuwane tumuonyeshe upendo Baba kalobo na tuone nguvu za Mungu za Mungu together I love u more❤❤

  • @paulkyenifurniture2618
    @paulkyenifurniture2618 4 месяца назад +146

    Wa kwanza kucomment kutoka Kenya gonga like

  • @GodblessMpenda
    @GodblessMpenda 4 месяца назад +122

    Yani Toka nianze kufatilia hii muvi sijawahi kupata like jamani 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @SchadrackMapand
    @SchadrackMapand 4 месяца назад +57

    Léo mutuwakwanza depuis Congo R.D.C🇨🇩🇨🇩🇨🇩 je vous aimes beaucoup

    • @Kmpshowpatient
      @Kmpshowpatient 4 месяца назад

      Salut man

    • @KigunduJean
      @KigunduJean 4 месяца назад

      Bonjour comment allez-vous ?🇨🇩🇨🇩

    • @Kmpshowpatient
      @Kmpshowpatient 4 месяца назад

      @@KigunduJean tu habites où présentement ?

    • @KigunduJean
      @KigunduJean 4 месяца назад

      @@Kmpshowpatient Goma Nord Kivu

    • @Kmpshowpatient
      @Kmpshowpatient 4 месяца назад

      @@KigunduJean ah bon Cool vraiment moi je suis à Lubumbashi

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 4 месяца назад +22

    Anti kibaniyo asinge enda bila juwe angelichukuwa amupelekeye muchungaji kazi jema kwenu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️

  • @Agnes550
    @Agnes550 4 месяца назад +120

    Me wakwanza , nice movie baba Joan
    Team Kenya tulike hapa❤🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MaimunaLugua-tf7vh
    @MaimunaLugua-tf7vh 4 месяца назад +58

    Congratulations bad j and team more love u ❣️ thanks kwa mafunzo yenu katika movie zenu ❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @Blue_Ocean_003
    @Blue_Ocean_003 4 месяца назад +10

    🎉🎉🎉🎉 fupi sana imeisha sehemu tamu ongeza dakika halafu ikiwezekana kila siku tadadhali @BabaJoan❤❤❤❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SophiaMahala
    @SophiaMahala 4 месяца назад +11

    Mmejua kufundisha jamii hongereni Sana marafiki zangu

  • @NaimaAli-q5r
    @NaimaAli-q5r 4 месяца назад +44

    Nipeni like Leo nimefka mapema lakn mmh kwani wengine hulala hapa wakisubr 😂😂😂😂

  • @mwachilungotsimba141
    @mwachilungotsimba141 4 месяца назад +5

    Mashallah leo kazi hahijakawiya sana mwenyezi mungu awazidishie Zaid

  • @BaxterJere-d4u
    @BaxterJere-d4u 4 месяца назад +2

    Mmmm daaa ahsante Sana mchubgaji Kwa maombi yako imegunduoika karobo alipo Kazi nzuri

  • @JanvierBaisonga
    @JanvierBaisonga 4 месяца назад +2

    Naipenda sana, kazi nzuri sana. Ongera Baba karobo.

  • @RahemaOman
    @RahemaOman 4 месяца назад +5

    wadau we azangu mpo wa nawapenda sana jamani kwaajili ya allah 🎉🎉❤naombeni like zangu

  • @arafatmohd4609
    @arafatmohd4609 4 месяца назад +28

    Baba joan na timu yake hongereni

  • @PrincessPendo-mc4dm
    @PrincessPendo-mc4dm 4 месяца назад +5

    Jamani karobo anabata tabu manikin babake karobo nakuonea huruma sana ..😢 .. wanaoniunga mkono kwakumuhurumia karobo na babake nipeni like

  • @raphaelongera7292
    @raphaelongera7292 4 месяца назад +15

    ❤❤❤ first to watch from kenya ... My likes please 🙏

  • @nshimiyimanaalex6467
    @nshimiyimanaalex6467 4 месяца назад +5

    Mbona mambo anaendeea kuwa mazito kweri Kigali Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 turabakunda cyaneeeee

  • @VestinNduwayezu
    @VestinNduwayezu 4 месяца назад +3

    ❤❤❤ i love you baba joan and leila karobo

  • @DenmaQ
    @DenmaQ 4 месяца назад

    Hii episode imeniliza hii congratulations baba karobo

  • @VictorKiprotich-sn8ho
    @VictorKiprotich-sn8ho 4 месяца назад +8

    Nimo ndani kutoka kaskazini mashariki kenya wapi likes zangu.

  • @nellyciakeonchaz
    @nellyciakeonchaz 4 месяца назад +1

    Jamani sinema ishakua tamu sana@baba Joani sad Story but inatufundish mengi... Salute

  • @ZaituniMbonyimana-e2e
    @ZaituniMbonyimana-e2e 4 месяца назад +39

    Wakwanza jamanii team strong pls like🎉🎉

  • @FredericNIYOMWUNGERE
    @FredericNIYOMWUNGERE 4 месяца назад +6

    Mv nzr sana ila fupisana tunaomba muongeze Dakika mm kutoka Budi 🇧🇮

  • @karambiraEsaïe
    @karambiraEsaïe 3 месяца назад +1

    Yanani hiifilamu imeniingiya sana n'a naomba Num ya juliat kaku mpongeza nime wapenda sana n'a ninaishi injini congo

  • @brightonvictorkimsehyeon7892
    @brightonvictorkimsehyeon7892 4 месяца назад

    Hii movie nzuri sana hongera @BabaJoan🙏

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 4 месяца назад +1

    Duuh hili jimovie b karobo tunaenda nalo mpka januhr wallah tup Kwa ajili yako waif za Bure za warabu 🇴🇲 hum 2 baba karobo

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 4 месяца назад +1

    Oh mtoto Omar kamkumbuka rafiki Yake karobo Baba Yake pia dah poleni Sana muzidishe dua insha'Allah

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 4 месяца назад +1

    Mungu wangu nimeona sasa kichiko tumeshinda baba kipofu utaona mungu atapitia kwa pstr kichiko

  • @NgalamnyaziScolasticah
    @NgalamnyaziScolasticah 4 месяца назад +5

    Mtumishi chiko mungu akujalie hii nafasi inakufaa kwa maisha yako🙏🙏mungu bariki wote wanao jitahidi kuturlomisha ila mamakarobo punguza uchawi buana😂😂

  • @PeterMwilu-b4z
    @PeterMwilu-b4z 4 месяца назад +4

    Kazi zuri bba Joan lkni ongezeni dakika tafadhali 🙏🙏 mungu awajalie qwa kazi yenu zuri team bba karobo

  • @YusraMshomary
    @YusraMshomary 4 месяца назад +16

    Yoyote yule Atakae omba like Leo na kusema amehawi naomba mungu amkutanishe na P DIDDY 😂😂😂😂😂 akapakwe mafuta ya baby oil 😂😂😂

  • @MasauShida
    @MasauShida 4 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana Baba Joan🇹🇿

  • @shantelshanne12
    @shantelshanne12 4 месяца назад +1

    wow 😊😊😊nzuri Sana nasubiri episode 45 so amazing 😍😍😍😊😊

  • @FaithNyaga-g2v
    @FaithNyaga-g2v 3 месяца назад +1

    Waaaah kali snaa

  • @KidumeRashid
    @KidumeRashid 4 месяца назад +25

    Shangazi wa karobo umefeli ulitakiwa kulichukuwa hilo jiwe kwani ninahofu mama karobo feki naweza kulihamisha hapo

    • @sibontungie804
      @sibontungie804 4 месяца назад +2

      Hapo inaundwa series ijayo😂😂😂 mtirirko mbovu sana wa matukio na yanatabirika kwa urahisi.

    • @jeryywapeople1185
      @jeryywapeople1185 4 месяца назад

      Umeona anaacha kubeba jiwe analiacha likionsolewa je?

  • @GERMAINSungura
    @GERMAINSungura 4 месяца назад +2

    Hii moja kali sasa

  • @SelinaImma
    @SelinaImma 4 месяца назад +1

    Naipenda sana movie kwann mnachelewa kutoa jaman

  • @reginaodeta473
    @reginaodeta473 4 месяца назад +2

    Jamani wachawi hawana huruma, Ila mungu asaidiye karobo kupitiya wachungaji hata awape nguvu yakushinda wachawi awarushiye moto milele Amina 🙏🙏🔥🔥

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 4 месяца назад +1

    Walio sikia Maman karob Fek akisem utakuona Mileke Amin Liké APA jaman❤❤❤❤

  • @noreennafula-zj8zp
    @noreennafula-zj8zp 4 месяца назад +1

    Good job

  • @AnnahMusau-x3w
    @AnnahMusau-x3w 4 месяца назад +1

    Shukulani mmejua karobo mahari yuko mungu ana uwezo mkumbwa acha mungu aitye mungu

  • @febronienyabenda7148
    @febronienyabenda7148 4 месяца назад +68

    Tangu hii movie ianze sojawahi Pata hâta lik 10 Léo nawaomba 2:56

  • @MariaKahind
    @MariaKahind 4 месяца назад +1

    Eeeeh mwenyezi mungu..kila anaye fwatilia hii movie...acha bwana ukqmfungulie milango....iliyo fungwa na wachawi...hakika mungu ni muweza wa yote....mbarikiwa mnao fwatilia moviee hii...❤❤❤❤❤

  • @FaridaJuma-e5h
    @FaridaJuma-e5h 4 месяца назад +1

    Jamani baba kalobo ninzuli sana lakinimna koseyaki dogomnao ngeasana mnapoteza muda punguzeni maongezi

  • @amissemkanapate8249
    @amissemkanapate8249 4 месяца назад +1

    Like Bas from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mathewmuthokaofficial1626
    @mathewmuthokaofficial1626 4 месяца назад +1

    Hongera sana,Baba Joan na team yako, tamthilia inazidi kuwa tamu

  • @IssaKassim-l9c
    @IssaKassim-l9c 4 месяца назад +2

    Waaa masikini karobo

  • @IbrahimuMalebo
    @IbrahimuMalebo 2 месяца назад

    Baba Joan we noma na timu Yako

  • @patrickgachanju
    @patrickgachanju 4 месяца назад

    Watching from qatar and its interesting

  • @zainzain1163
    @zainzain1163 4 месяца назад

    Mvi nzuri baba karobo good job ❤❤❤❤❤

  • @ChristineMaloba-hk9je
    @ChristineMaloba-hk9je 4 месяца назад +3

    Much love ❤️ baba joan 🎉🎉

  • @MatambashNgoidiko-d8k
    @MatambashNgoidiko-d8k 4 месяца назад

    Wakwanza kutoka Tanzania movie nzuri tuko pamoja baba karobo❤❤❤

  • @patrickndayisenga8929
    @patrickndayisenga8929 4 месяца назад +1

    Iyi episode sioni jambo lamana mbona munayifany ndefu Sana ivi mnacheza bitu habina #utamu wowote

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 4 месяца назад +1

    Pastor chiko mauwa yako kutoka Kenya 🎉🎉🎉❤❤❤kazi ya mungu unafanya vizuri kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @OscarAmbayi
    @OscarAmbayi 4 месяца назад +29

    Sasa karobo atolewe kwenye jiwe alafu mchungaji amuombee baba karobo twataka tumuone akiona na mama karobo apewe adhabu kali

    • @ButoyiRukiya
      @ButoyiRukiya 4 месяца назад

      Hakika nami natamani iwe ivo

    • @HhUhh-io8ix
      @HhUhh-io8ix 4 месяца назад

      Yesssss aki huyu mama karobo fake apatiwe adhabu Kali munooooo haaaaa unatesa family Yako majabu haya

  • @SalvatorAdamu
    @SalvatorAdamu 4 месяца назад +12

    Jameni mama karobo !!! Dhuuuu umekutana na P DIDY nini? Hata kama ni movie namuogopa xna. From USA

  • @BrianMulari
    @BrianMulari 4 месяца назад +2

    Tunaendelea vizuri karobo kashapatikana sasa n mchungaji afanye maombi kumrudisha karobo Kisha babake apate mboni yake

  • @BrandinaMpagama
    @BrandinaMpagama 4 месяца назад +2

    Mvi ni tamu mnoo niwatakie mwezi mwema na wenzangu wakristo tukumbuke huu mwezi wa lozali❤❤

    • @olicej7837
      @olicej7837 4 месяца назад

      Amen Mungu atujalie afya tele na baraka nyingi

  • @jeremiahkante0633
    @jeremiahkante0633 4 месяца назад +1

    Baba jaon haki video z❤❤🎉ako zimeweza mbaya wakenya tumezipenda

  • @KingNtiharirizwa
    @KingNtiharirizwa 4 месяца назад +20

    Mi naimani itayishia kwenye ep 50 anaebisha aweke mkono juuu😂😂😂😂 tango sijawahii kupa hata link mjo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 4 месяца назад

    Congratulations keep it up good job 👏👍

  • @RibayeSongoro
    @RibayeSongoro 4 месяца назад

    Kazi nzuri likini mbna ni fupi san ongezeni dakika kiasi jaman🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪salim kutoka uko

  • @Byamungudrcfromtz
    @Byamungudrcfromtz Месяц назад

    Hubora wa kazi nzuri sana ukiwa bado una pewa sapoti na mashabiki ka like ka comenti ka subscreb ivyo tu

  • @haleemaali731
    @haleemaali731 4 месяца назад +5

    Mbona mambo ayaendi tunsitaji baba kalobo aone

  • @doretwanjala6848
    @doretwanjala6848 4 месяца назад +1

    Nice movie

  • @webnet5652
    @webnet5652 4 месяца назад +1

    Mama karobo wa feki mnafki san kumtesa karobo😢😢

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 4 месяца назад +2

    Ooo saf san

  • @GdhhdXbxhdyd
    @GdhhdXbxhdyd 4 месяца назад +1

    Kazizuri nawapenda saaanaaa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @davidmutiso7820
    @davidmutiso7820 4 месяца назад

    I like it, keep it up

  • @junss7junis
    @junss7junis 4 месяца назад +1

    Hii movie nzuri kutoka kenya

  • @HamidaMaranje
    @HamidaMaranje 8 дней назад

    Subhanallah jamani baba kalobo anateswa mungu amsaidie inshallah basi
    ata comment Moja 😢😢😢😢

  • @TatudamabakariTatudamabakari
    @TatudamabakariTatudamabakari 4 месяца назад +1

    😢😮😢😢😢 mwanamke anaroho mbaya sn huyu eee mungu weeee mponye baba karobo aweze kuona

  • @musabyimanainnocent-6621
    @musabyimanainnocent-6621 4 месяца назад +1

    Bravo!...

  • @hashimmadoga4618
    @hashimmadoga4618 4 месяца назад

    Kuomba like tuh kukoment aaah

  • @AmisseNsaluba
    @AmisseNsaluba 4 месяца назад +5

    Leo mm wa kwanza kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿Mozambique kazi njema

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 4 месяца назад +1

    Courage ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RobenKikezi
    @RobenKikezi 4 месяца назад +3

    Nice

  • @Rizikisebarua
    @Rizikisebarua 4 месяца назад

    Hakika Nazi zako ni nzuri, jitahidi utoe kila siku tafadhali

  • @AbdurazakChelea
    @AbdurazakChelea 4 месяца назад

    Nakubali Sana baba joani Ila hii move kama isi ishe

  • @anethkihombo1432
    @anethkihombo1432 4 месяца назад +1

    Team my mother,house girl na baba yangu kipofu salute kwa chiko🎉🎉🎉

  • @MaryMumbi-t8y
    @MaryMumbi-t8y 4 месяца назад +2

    Zuu ❤

  • @SamuelOnduso
    @SamuelOnduso 4 месяца назад

    Nice, waiting episode 45, if possible by Friday. Tamu sana

  • @agnespola1227
    @agnespola1227 4 месяца назад +4

    Yani utamu ndio unazidi ila Namiss sana Patronize jamani . Nafatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @OmaryOscar-o9d
    @OmaryOscar-o9d 4 месяца назад +1

    Baba joani hii movie inaerekea mwisho na wewe ndio unaigiza snaa mambo tunayo yapitia unaonajee movie mpya ukaita mungu amenisahau maan kuna watyu wanapitia magumu na kuisi mungu hayupo katika maisha yao na mm miongoni mwao ila ningeweza kuigiza hakika ninge igizaa ila siwez na kuomba igiza hiyo maan utatutia moyo na asante

  • @martinkioko6437
    @martinkioko6437 4 месяца назад +1

    Wa kwanza Kutoka Kenya nipewe like hata moja 🇰🇪🇰🇪

  • @ZulphaMsangi-s9g
    @ZulphaMsangi-s9g 4 месяца назад

    Safi sana baba karobo kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉

  • @Davidmtawala-b4y
    @Davidmtawala-b4y 4 месяца назад

    Waooooooooh kazi nzur sana baba Joan tem

  • @Blacksontigre25
    @Blacksontigre25 4 месяца назад +1

    Mzigo kubwa

  • @MunirAli-f4r
    @MunirAli-f4r 4 месяца назад +2

    Kipindi chenu kuzuri bac musicheleweshe sana tutumiyeni hata kesho plz tunatamani karobo atoke kwa jiwe ❤❤

  • @JacklineSanga421
    @JacklineSanga421 4 месяца назад +4

    Ila dada ake baba kalobo angemchukua tu kaka ake wakae tu pamoja jaman mana mmmhhh

  • @modex_0376
    @modex_0376 4 месяца назад +220

    MWEZI MUNGU NAOMBA WAJALIE WAJA WAKO KAXI NJEMA UWAPATIYE AFYA NJEMA NA WALITANGULIA UWAJALIE NDIO JANNAT FIRDAUSI YOYOTE AKISOMA HII NA KULIKE MUNGU AMJALIE UMRI MREFU IN SHAA ALLAH NA KUCOMEENT AMEEN

  • @SamwelAdundo
    @SamwelAdundo 4 месяца назад +1

    Omar na karobo wapndeza alf mama mdgo wa karobo chkua jiwe mpleke kwa mchungaji from kenya npeen like ata🎉🎉🎉🎉

  • @Verokimwesh
    @Verokimwesh 4 месяца назад +1

    Chenye mm naomba huu muvi usihishe 😂😂

  • @pablonsanzumuhire2024
    @pablonsanzumuhire2024 4 месяца назад

    Big up Baba Kalobo,Me medufunza mengi leo. Namupenda Kalobo

  • @Kahindi51
    @Kahindi51 4 месяца назад

    Kazi nzuri sana ila muda muongeze ata nusu saa

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh 4 месяца назад +8

    Happy new month guys❤❤❤❤ Kenyans wishing you the best ❤❤❤❤❤❤mungu awajalie maisha marefu yenye fanaka baraka zake siandamane nanyie siku zote❤❤❤

  • @dancunmukoya3711
    @dancunmukoya3711 4 месяца назад

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪